Mswada tata wa Ghana dhidi ya LGBTQ umepitishwa na bunge lake kufuatia mjadala na kusomwa kwa mara ya tatu bungeni. Sheria hiyo mpya inamaanisha kuwa raia wa Ghana wanaojitambulisha kama LGBTQ+ ...
Timu za taifa za Angola, Misri, Senegal na Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo zimefuzu kushiriki mashindano ya kombe la mataifa ya Afrika Afcon mwaka wa 2025.
Vijana wa kiislamu wenye hasira kali walivamia kanisa moja katika mji mkuu wa Ghana, mara baada ya mchungaji kutabiri kifo cha Imamu Mkuu wa kiislamu wa nchini humo kutokea mwaka 2019. Baadhi ya ...