Timu za taifa za Angola, Misri, Senegal na Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo zimefuzu kushiriki mashindano ya kombe la mataifa ya Afrika Afcon mwaka wa 2025.
Kwa Tshabalala wakati fulani Simba walijaribu kumletea mlinzi wa kushoto wa Ghana, Asante Kwassi kutoka Lipuli ya Iringa. Alianza vyema lakini baadae Tshabalala alirudisha namba yake. Baada ya hapo ...
Mswada tata wa Ghana dhidi ya LGBTQ umepitishwa na bunge lake kufuatia mjadala na kusomwa kwa mara ya tatu bungeni. Sheria hiyo mpya inamaanisha kuwa raia wa Ghana wanaojitambulisha kama LGBTQ+ ...